×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

SERIKALI YABAINI WAHALIFU KUFUNGUA AKAUNTI ZENYE MAJINA YA TAASISI ZINAZOAMINIKA

Na Mwandishi wetu.

Serikali imesema imebaini kuwepo Kwa wahalifu ambao wamefungua akaunti za Mitandao ya kijamii yenye majina yanayofanana na Taasisi zinazoaminika na kuchapisha maudhui ya upotoshaji na zenye kuzua taharuki.

Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Masigwa, kupitia ukurasa wake Wa Instagram, Amewataka Wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya wahalifu hao.

#NTTUpdates