×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

RAIS SAMIA APOKEA TUZO YA SHUKRANI

Na Mwandishi wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Shukrani kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Vyama vyaWafanyakazi (TUCTA) Tumaini Nyamhokya kwa niaba yawafanyakazi wakati wa Maadhimisho ya Siku wa WafanyakaziDuniani (Mei Mosi) Kitaifa sherehe hizo zimefanyika katika uwanja wa Bombadia Mkoani Singida tarehe 01 Mei, 2025.

#NTTUpdates