×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

AL AHLY SC KUWAKATA MISHAHARA WACHEZAJI WAKE

Na Mwandishi wetu.

Uongozi wa klabu ya Al Ahly FC ya Misri imefanya maamuzi ya kuwakata mishahara wachezaji wake kwa asilimia 25% (Robo ya Mshahara kwa kila mchezaji) baada ya matokeo ya matokeo mabaya kwenye ligi kuu nchini Misri (Nile pro League).

Al Ahly SC ipo nafasi ya 13 baada ya kucheza michezo 4 wakivuna alama 5 pekee chini ya Kocha wa zamani wa Orlando Pirates Jose Riveiro.

#📷alahly

#NTTupdates